Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Madini asisitiza Ujenzi wa Jengo la Wizara hiyo Uende kwa Kasi
Na Mwandishi Wetu Dodoma Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Madini, Msafiri Mbibo amemtaka Mkandarasi Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kuongeza kasi ya ujenzi wa jengo jipya la wizara ili mradi huo ukamilike katika muda uliopangwa wa kipindi cha miezi 18. Mbibo amesema hayo alipotembelea na kukagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa ofisi mpya
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed